Mtanzania  Isack Ibrahim Emmanuel ambaye ni Mwanafunzi katika Chuo Kikuu cha  Liaoning jijini Shenyang nchini China ameendeleza ubabe wake katika mchezo wa Kick Boxing baada ya kushinda katika pambano lake lingine la la uzito wa kilo 60kg kwenye mashindano ya “Vita ya Mfalme” katka mji wa Jiling,Jiji la Changchun, kwa kumtwanga kwa TKO mpinzani wake Li Haoran (李浩然).
Wiki iliyopita Mtanzania huyu hodari alimtoa kwa KO mwishoni mwa raundi ya kwanza mpinzani wake aitwaye  Hubulan (胡布).
  Isack Ibrahim Emmanuel baada ya refa kusimamisha pambano baada ya kumchakaza kwa TKO raundi ya kwanza  mpinzani wake  Li Haoran (李浩然).










Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...