Makamu wa Rais Mstaafu Dkt. Mohamed Gharib Bilal akiwasili kutoa pole na kuwafariji wafiwa nyumbani kwa marehemu Dkt Reginald Mengi Kinondoni, jijini Dar es Salaam. Mwili wa Marehemu Dkt .Mengi unatarajiwa kuwasili kesho Jumatatu saa nane Mchana Katika Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Nyerere. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...