Kaimu Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Ndugu Verity Nyagah kizungumza katika kikao cha Bodi ya Mradi wa Kulijengea Bunge Uwezo Awamu ya Pili (LSP II) kilichofanyika Katika Ukumbi wa Spika Jijini Dodoma, kulia ni Naibu Spika, Mhe. Dkt.Tulia Ackoson

Wajumbe wa Bodi ya Mradi wa Kulijengea Bunge Uwezo Awamu ya Pili (LSP II) wakiwa katika kikao cha Bodi kilichofanyika Katika Ukumbi wa Spika Jijini Dodoma. kikao hicho kiliongozwa na Naibu Spika, Mhe. Dkt.Tulia Ackoson na Kaimu Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Ndugu Verity Nyagah

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...