RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akijumuika na Wananchi wa Kijiji cha Mkanyageni Wilaya ya Mkoani Pemba, katika futari aliyowaandalia katika viwanja vya Skuli ya Sekondari ya Mohammed Juma Pindua, kushoto Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi na kulia Waziri wa Kilimo Maliasili Mifugo na Uvuvi Mhe. Mmanga Mjengo Mjawiri, wakiwa katika hafla hiyo.
WANANCHI wa Kijiji cha Mkanyageni Wilaya ya Mkoani Pemba wakijumuika katika hafla ya Futari ilioandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi kwa ajili yao iliofanyika katika Skuli ya Sekondari ya Mohammed Juma Pindua.
WANANCHI wa Kijiji cha Mkanyageni Wilaya ya Mkoani Kisiwani Pemba wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Mhe. Hemed Suleiman, akitowa neno la shukrani kwa niaba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe,.Dk. Ali Mohamed Shein, baada ya kumaliza hafla hiyo ya futari iliofanyika ukumbi wa Skuli ya Sekondari ya Mohammed Juma Pindua.
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akijumuika na Wananchi wa Kijiji cha Mkanyageni katika futari ilioandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi kwa Wananchi hao iliofanyika katika Skuli ya Sekondari ya Mohammed Juma Pindua Wilaya ya Mkoani Kisiwani Pemba kulia Mshauri wa Rais Afisi ya Rais Pemba Mhe.Dkt. Maud Abeid Daftari.
MKUU wa Mkoa wa Kusini Pemba Mhe. Hemed Suleiman, akitowa neno la shukrani kwa niaba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, kwa Wananchi wa Kijiji cha Mkanyageni wakati wa hafla ya futari walioandaliwa katika Skuli ya Sekondari ya Mohammed Juma Pindua.
WANANCHI wa Kijiji cha Mkanyageni Wilaya ya Mkoani Kisiwani Pemba wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Mhe. Hemed Suleiman, akitowa neno la shukrani kwa niaba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe,.Dk. Ali Mohamed Shein, baada ya kumaliza hafla hiyo ya futari iliofanyika ukumbi wa Skuli ya Sekondari ya Mohammed Juma Pindua.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, kushoto Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi na kulia Waziri wa Kilimo Maliasili Mifugo na Uvuvi Mhe. Mmanga Mjengo Mjawi, wakiitikia dua ikisomwa na Mzee wa Kijiji cha Mkanyageni Wilaya ya Mkoani Kisimwani Pemba Bw,Khamis Amour, baada ya kumaliza hafla hiyo ya futari iliofanyika ukumbi wa Skuli ya Sekondari ya Mohammed Juma Pindua.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na kuagana na Mzee Khamis Amour, baada ya kumalizika kwa hafla ya futari ilioandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe Dk. Shein, kwa wWananchi wa Mkanyageni Wilaya ya Mkoani Kisiwani Pemba.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiagana na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi, baada ya kumalizika kwa hafla ya Futari iliofanyika katika ukumbi wa Skuli ya Sekondari ya Mohammed Juma Pindua Wilaya ya Mkoani Kisiwani Pemba.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiagana na Wananchi wa Kijiji cha Mkanyageni Wilaya ya Mkoani Kisiwani Pemba, baada ya kumalizika kwa hafla ya futari aliowaandalia Wananchi, iliofanyika katika Skuli ya Sekondari ya Mohammed Juma Pindua.(Picha na Ikulu, Zanzibar)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...