Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi akizungumza na wajumbe wa bodi wa shirika la Okoa Moyo wa Mtoto (Save a Child’s Heart (SACH) la nchini Israel wakati wa kambi maalum ya matibabu ya moyo ya siku saba inayofanyika katika taasisi hiyo. Jumla ya watoto 20 wanatarajiwa kufanyiwa upasuaji wa bila kufungua kifua kupitia tundu dogo kwa kuziba matundu yaliyopo kwenye moyo na kuzibua mishipa ya damu inayopeleka damu kwenye moyo. 
: Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi akizungumza na wajumbe wa bodi wa shirika la Okoa Moyo wa Mtoto (Save a Child’s Heart (SACH) la nchini Israel wakati wa kambi maalum ya matibabu ya moyo ya siku saba inayofanyika katika taasisi hiyo. Jumla ya watoto 20 wanatarajiwa kufanyiwa upasuaji wa bila kufungua kifua kupitia tundu dogo kwa kuziba matundu yaliyopo kwenye moyo na kuzibua mishipa ya damu inayopeleka damu kwenye moyo.
Mjumbe wa bodi ya Okoa Moyo wa Mtoto (Save a Child’s Heart (SACH) la nchini Israel Riva Grinshpan akizungumza na menejimenti ya taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na wajumbe wa bodi hiyo wakati wa kambi maalum ya matibabu ya moyo ya siku saba inayofanyika katika taasisi hiyo. Jumla ya watoto 20 wanatarajiwa kufanyiwa upasuaji wa bila kufungua kifua kupitia tundu dogo kwa kuziba matundu yaliyopo kwenye moyo na kuzibua mishipa ya damu inayopeleka damu kwenye moyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...