Sehemu ya wageni waalikwa wakiwa kwenye kilele cha maadhimisho ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar |
![]() |
Mhe. Balozi Masuka akimkabidhi Spika huyo majarida na vipeperushi mbalimbali vinavyotangaza vivuytioa vya utalii nchini |
Watanzania waishio Korea (TANROK) wakionesha tamaduni za kitanzania kupitia sanaa ya ngoma |
Mtaalam wa michoro maarufu ya Tanzania "Tingatinga" akiwafundisha wananchi wa Jamhuri ya Korea kuchora michoro hiyo |
Wanafunzi wakiwa wamefuzu na kuonesha michoro yao ya "Tingatinga" inayovutuia |
![]() |
Balozi Masuka akifurahia jambo na wageni waalikwa wakati wa maadhimisho hayo |
Balozi Masuka akimkaribisha Seoul msanii wa muziki Diamond alipokwenda kutumbuiza wakati wa maadhimisho ya miaka 55 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar |
![]() |
Wageni waalikwa wakifurahia muziki kutoka kwa msanii Diamond hayupo pichani |
![]() |
Ratiba ya matukio ya Wiki ya Tanzania jijini Seoul kama inavyoonekana |
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...