Prof. Palamagamba John Kabudi akielezea jambo mara baada ya kuweka saini kwenye kitabu cha maombolezo |
Profesa Palamagamba John Kabudi akizungumza na Balozi Doanh |
Mama Doanh pamoja na Maafisa ubalozi wa Vietnam wakimsikiliza kwa makini Mhe. Prof. Palamagamba John Kabudi (hayupo pichani). |
Mazungumzo yakiendelea. |
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...