Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai akizungumza Bungeni jijini Dodoma Mei 8.2019.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akifurahia jambo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji, Angela Kairuki Bungeni jijini Dodoma Mei 8.2019.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akizungumza na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na wenye Ulemavu, Jenista Mhagama Bungeni jijini Dodoma Mei 8.2019.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akisalimiana na Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Peter Serukamba, kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma Mei 8.2019, katikati ni Mbunge wa Mbozi Magharibi, David Silinde.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akizungumza na Wabunge David Silinde (kushoto) wa Mbozi Magharibi na Peter Serukamba (katikati) wa Kigoma Kaskazini, kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma Mei 8.2019
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...