Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili- Mloganzila Dkt. Julieth  Magandi (wapili kutoka kulia) akizungumzia kuhusu matibabu na huduma ambazo amepatiwa mtoto Hilary Plasidius ambaye alilazwa hospitalini kwa siku 210 na kuruhusiwa leo. Anayemfuatia kushoto ni Daktari Bingwa wa watoto Mwanaidi Amir.
Daktari Bingwa wa watoto kutoka Hospitali ya Mloganzila Dkt. Mwanaidi Amiri akielezea kuhusu gonjwa uliokuwa ukimsumbua mtoto Hilary.
Dkt. Julieth Magandi (kulia) akizungumza mara baada ya kukabidhi msaada wa kiti cha kumuwezesha kutembea mtoto Hillary, ambacho kimegharimu zaidi ya shilingi laki nne.

Mtoto Hilary akiwa mwenye tabasamu mara baada ya kuruhusiwa kutoka hospitalini hii leo.
Bi. Patricia Hillary (katikati) akitoa neno la shukrani kwa wauguzi, madaktari pamoja na uongozi wa hospitali kwa kwa kumpatia matibabu mjuu kuu wake na afya yake kuimarika.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...