Mkurugenzi wa Bethel Mission School, Emmanuel Mshana, akitoa hotuba ya utangulizi, kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi kufungua mafunzo ya Ujasiriamali kwa ajili ya wafanyakazi wa shule hiyo pamoja wananchi kutoka maeneo mbalimbali jijini Dar es Salaam, Leo. Semina hiyo ya siku tano itakayohusu mafunzo ya ujasiriamali yanafanyika kwenye viwanja vya Shule hiyo iliyopo Manispaa ya Ubungo ambazo zaidi ya washiriki 450 wamehudhuria.
 Baadhi ya washiriki wa semina hiyo.
  Baadhi ya washiriki wa semina hiyo.
  Baadhi ya washiriki wa semina hiyo.
  Baadhi ya washiriki wa semina hiyo.
  Baadhi ya washiriki wa semina hiyo.
  Baadhi ya washiriki wa semina hiyo.
 Mwakilishi wa Mkurugenzi wa Manisapaa ya Ubungo, Jaffari Kunambi, akitoa hotuba ya ufunguzi wa semina hiyo ya wajasiriamali iliyoandaliwa na Bethel Mission School jijini Dar es Salaam.

Meneja Biashara wa Benki ya CRDB tawi la Azikiwe, George Yatera, akitoa mada katika semina ya wajasiriamali iliyoandaliwa na Bethel Mission School jijini Dar es Salaam.
Meneja Biashara wa Benki ya CRDB tawi la Azikiwe, George Yatera, akitoa mada katika semina ya wajasiriamali iliyoandaliwa na Bethel Mission School jijini Dar  es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...