![](https://1.bp.blogspot.com/-bYYEVYXy3M0/XRTTYFJKc8I/AAAAAAAC0Eg/wMcymCfg4sQT24zLJn0OXgbBHZut465DwCLcBGAs/s640/4.jpg)
Msaidizi wa usajili mkuu katika wakala wa biashara na leseni hapa nchini (BRELA) George Chuwa aliyesimama akitoa elimu kwa wafanyabiashara mbalimbali mkoani Mtwara kuhusu kusajili biashara zao kwa njia ya mtandao mafunzo ambayo yamefanyika mjini Mtwara.
Wafanyabiashara mbalimbali mkoani Mtwara wakijengewa uwezo katika mafunzo ya siku mbili yanayoendeshwa na Wakala wa usajili wa biashara na leseni (BRELA)
kuhusu namna ambavyo wanatakiwa kusajili biashara zao kwa njia ya
mtandao mafunzo ambayo yamefanyika mjini Mtwara. (PICHA NA FATNA
MWINYIMKUU)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...