Bomba la Maji kwenda miji ya Tabora, Nzega na Igunga pamoja na Vijiji zaidi ya 120 likiunganishwa katika eneo la Solwa. Nzega wataanza kupata maji ya Ziwa Victoria mwezi wa saba, Igunga mwezi wa tisa na Tabora wataanza kupata maji kutoka Ziwa Victoria Novemba mwaka huu. Picha kwa hisani ya Maji Tanzania.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...