Edmund Lawrence Mushi
07/12/1973 - 22/06/2015
Leo tarehe 22/06/2019 umetimiza miaka minne tangu ututoke,Unakumbukwa na watoto wako Luis(Anwary) na Jermaine,Unakumbukwa na Baba yako mzazi Mzee Lawrence Mushi(Kimbori).Pia unakumbukwa na wadogo zako Rudolf(Dofu),Claudia,Gaudence,Fulgence,Renatus(Kulwa),Martha(Manka/Dotto) na Maria(Mkakeni)
Unakumbukwa pia na ukoo wote wa Kimbori na Massawe,Pamoja na Ndugu jamaa na Marafiki,Pia Unakumbukwa na Tanzania Houston Community(THC) in Houston-Texas.Pumzika Kwa Amani Kaka Yetu Edmund.
    Bwana Alitoa,Bwana Ametwaa jina lake Lihimidiwe.
          Amen🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...