Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo Juni 25,2019
ameshiriki katika Dua ya pamoja na Familia ya Naibu katibu Mkuu wa CCM
Zanzibar Dkt. Abdallah Juma Sadallah Mabodi wakati Makamu wa Rais
alipofika nyumbani kwa Dkt. Mabodi Mikocheni jijini Dar es salaam
kumfariji kutokana na kifo cha mkewe Dkt. Badriya Abubakar Gurnah
kilichotokea mwishoni mwa wiki iliyopita.
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassani akizungumza na Dkt. Abdallah Juma Sadallah Mabodi
.
Makamu wa Rais Akisaini kitabu cha kumbukumbu
Makamu akiagana na Familia baada ya Dua.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...