Mmoja wa Wachuuzi wa bidhaa kando kando ya barabara ya Bagamoyo akiuza vikapu vyake leo jioni kwa bei ya shilingi 6000/= mpaka 10,000/=.Vikapu hivyo vimekuwa vikipata soko siku hadi siku kufuatia katazo la Serikali la matumizi ya mifuko ya Plastiki,Wananchi wamekubali na kuitikia wito wa kuhakikisha matumizi ya mifuko ya Plastiki inakoma kutumika ikiwa ni sehemu ya kulinda mazingira.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...