MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akiwasalimia na kutowa Mkono wa Eid Fitry Wazee wa Kijiji cha Welezo Unguja Wilaya ya Magharibi A Unguja, alipofika kuwatembelea leo 5-6-2019.(Picha na Ikulu)
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akimsalimia na kumpa Mkono wa Eid Fitry Mzee wa Kijiji cha Wazee Welezo Zanzibar Mzee. Kasuka Mwanakere, alipofika kuwatembelea leo na kutawa Mkono wa Eid Fitry, baada ya kumalizika mwezi Mtukufu wa Ramadhani.(Picha na Ikulu)
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akimsalimia mmoja wa Wazee wanaoishi katika nyumba za Wazee Welezo Zanzibar Mzee. Ramadhani Mussa ,a kumpa mkono wa Eid Fitry.leo alipofika kuwatembelea.(Picha na Ikulu)
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akimsikiliza Kiongozi wa nyumba za Wazee Welezo Zanzibar Sister Gemma Rodrigues, alipofika katika makaazi yao kuwatembelea na kutowa mkono wa Eid Fitry.(Picha na Ikulu)
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akimsikiliza Waziri wa Kazi Uwezeshaji Wazee Wanawake na Watoto Zanzibar Mhe. Maudline Castico akizungumza wakati wa hafla ya kutowa mkono wa Eid Fity kwa Watoto hao alipofika katika makaazi yao kuwatembelea leo.(Picha na Ikulu)
MKE wa Rais wa Zanzibar Mwanamwema Shein, akitowa Mkono wa Eid Fitry kwa Watoto Wanaoishi Nyumba ya Watoto wa Serikali ya Mazizini Zanzibar alipofika kuwatembelea.(Picha na Ikulu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...