MKE wa Rais wa Zanzibar Mama
Mwanamwema Shein, akiwasalimia na kutowa Mkono wa Eid Fitry Wazee wa
Kijiji cha Welezo Unguja Wilaya ya Magharibi A Unguja, alipofika
kuwatembelea leo 5-6-2019.(Picha na Ikulu)

MKE wa Rais wa Zanzibar Mama
Mwanamwema Shein, akimsalimia na kumpa Mkono wa Eid Fitry Mzee wa Kijiji
cha Wazee Welezo Zanzibar Mzee. Kasuka Mwanakere, alipofika
kuwatembelea leo na kutawa Mkono wa Eid Fitry, baada ya kumalizika mwezi
Mtukufu wa Ramadhani.(Picha na Ikulu)

MKE wa Rais wa Zanzibar Mama
Mwanamwema Shein, akimsalimia mmoja wa Wazee wanaoishi katika nyumba za
Wazee Welezo Zanzibar Mzee. Ramadhani Mussa ,a kumpa mkono wa Eid
Fitry.leo alipofika kuwatembelea.(Picha na Ikulu)

MKE wa Rais wa Zanzibar Mama
Mwanamwema Shein, akimsikiliza Kiongozi wa nyumba za Wazee Welezo
Zanzibar Sister Gemma Rodrigues, alipofika katika makaazi yao
kuwatembelea na kutowa mkono wa Eid Fitry.(Picha na Ikulu)

MKE wa Rais wa Zanzibar Mama
Mwanamwema Shein, akimsikiliza Waziri wa Kazi Uwezeshaji Wazee Wanawake
na Watoto Zanzibar Mhe. Maudline Castico akizungumza wakati wa hafla ya
kutowa mkono wa Eid Fity kwa Watoto hao alipofika katika makaazi yao
kuwatembelea leo.(Picha na Ikulu)

MKE wa Rais wa Zanzibar Mwanamwema
Shein, akitowa Mkono wa Eid Fitry kwa Watoto Wanaoishi Nyumba ya Watoto
wa Serikali ya Mazizini Zanzibar alipofika kuwatembelea.(Picha na
Ikulu)



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...