aibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi,ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Mkuranga Mh.Abdallah Ulega  (wa kwanza  kushoto)  wakifungua kisima na wadau mbalimbali wa maendeleo katika   Kijiji cha Kazole kata ya Vikindu  wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani.
 aibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi,ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Mkuranga Mh.Abdallah Ulega akiwafariji wagonjwa leo wakati walipokwenda  na wandau wa maendeleo  kutoa msaada wa kibinadamu katika hospitali ya wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani. 
  aibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi,ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Mkuranga Mh.Abdallah Ulega (wa kwanza kulia ) akiwa ameambatana na  wadau mbalimbali wa maendeleo  wakitoa msaada wa kibinadamu leo  kwa wagongwa mbalimbali katika hospitali ya wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani.

 Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi,ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Mkuranga Mh.Abdallah Ulega (wa pili kulia ) akiwa ameambatana na  wadau mbalimbali wa maendeleo  wakitoa msada wa kibinadamu  kwa wagongwa mbalimbali katika hospitali ya wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)
 aibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi,ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Mkuranga Mh.Abdallah Ulega (alienyoosha mkono)  akiwashukuru wadau  wa maendele waliojenga mkisima kwa niaba ya wananchi wa  Kijiji cha Kazole kata ya Vikindu  wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...