Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akizungumza na Wageni kutoka Jimboni kwake Kogwa, Jijini Dodoma waliotembelea Bunge leo.

Naibu Spika, Dkt. Tulia Ackson
(katikati waliokaa mbele) akizungumza na Wanawake Wajasiriamali kutoka
Jijini Mbeya waliotembelea Bunge leo. Kulia ni Mbunge wa Chunya ambaye
pia ni Mwenyekiti wa Wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutoka Mkoa wa
Mbeya Mhe. Victor Mwambalasu.

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai na
Naibu Spika, Dkt. Tulia Ackson (katikati) katika picha ya pamoja na
Wanawake Wajasiriamali kutoka Jijini Mbeya waliotembelea Bunge leo.



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...