Mmoja ya vingozi wa kijiji cha Mbati akihamasisha wananchi wa kijiji hicho kupima magonjwa ya ngozi na Ukoma kabla ya kuanza uchunguzi wa ugonjwa huo jana ulioongozwa na Mratibu wa kifua kikuu na Ukoma Hospitali ya wilaya Tunduru Dkt Mkasange Kihongole.
 Baadhi ya wananachi wa kijiji cha Mbati kata ya Mbati wilaya ya Tunduru mkoa wa Ruvuma wakisubiri kufanyiwa uchunguzi wa magonjwa ya ngozi na Ukoma wakati wa zoezi la uchunguzi wa magonjwa hayo kwa wananchi wa vijiji vilivyopo mpakani na Nchi jirani ya Msumbiji  kampeni inayoongozwa na Mratibu wa kifua kikuu na Ukoma Hospitali ya wilaya ya Tunduru Dkt Mkasange Kihongole.
 Baadhi ya wananachi wa kijiji cha Mbati kata ya Mbati wilaya ya Tunduru mkoa wa Ruvuma wakisubiri kufanyiwa uchunguzi wa magonjwa ya ngozi na Ukoma wakati wa zoezi la uchunguzi wa magonjwa hayo kwa wananchi wa vijiji vilivyopo mpakani na Nchi jirani ya Msumbiji  kampeni inayoongozwa na Mratibu wa kifua kikuu na Ukoma Hospitali ya wilaya ya Tunduru Dkt Mkasange Kihongole.
 Mratibu wa kifua Kikuu Ukoma wa Hospitali ya wilaya ya Tunduru Dkt Mkasange Kihongoleakiongea  wananchi wanaoishi vijiji vilivyopo mpakani mwa Tanzania na Msumbuji hasa baada ya kubainika kuwa wananchi wa maeneo  hayo wameathirika kwa kiwango kikubwa na ukoma.
Mratibu wa kifua Kikuu Ukoma wa Hospitali ya wilaya ya Tunduru Dkt Mkasange Kihongole akimchunguza magonjwa ya ngozi  mkazi wa kijiji  cha Mbati wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma Mohamed Musa wakati wa zoezi la uchunguzi wa magonjwa ya  ngozi na Ukoma kwa wananchi wanaoishi vijiji vilivyopo mpakani mwa Tanzania na Msumbuji hasa baada ya kubainika kuwa wananchi wa maeneo  hayo wameathirika kwa kiwango kikubwa na ukoma.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...