Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Zainabu Chaula akizungumza na Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyakazi wa Afya na Serikali Kuu (TUGHE) mkoa wa Dodoma Mchenya John mara baada ya kuzindua Baraza la Wafanyakazi wa Hospitali ya Benjamini Mkapa mapema hivi karibuni jijini Dodoma.
Picha ya pamoja. (PICHA NA FRANK SHIJA-MAELEZO)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...