Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro (aliyesimama), akizungumza na baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya mkoa wa Mwanza, wakati alipofanya ziara ya kikazi mkoani humo ambapo pia alitembelea mradi wa ujenzi wa nyumba za makazi ya askari zinazojengwa katika eneo la
Nyamhongoro. Picha na Jeshi la Polisi. 
Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro, akikagua gwaride aliloandaliwa kwa ajili yake wakati alipowasili mkoa wa Mwanza kwa ziara ya kikazi ambapo pia alitembelea mradi wa ujenzi wa nyumba za makazi ya askari zinazojengwa katika eneo la Nyamhongoro. Picha na Jeshi la Polisi. 
Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro (kulia), akizungumza na baadhi ya
wananchi aliokutana nao katika kivuko eneo la Busisi mkoani Mwanza, wakati akiwa safarini kuelekea mkoa wa Geita kwa ziara ya kikazi, mbele yake ni kamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza Jumanne Muliro. Picha na Jeshi la Polisi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...