Mafunzo ya Msasa ya Uwezeshaji kuhusu Mashamba darasa kwa Maafisa Viungo wa Mradi kutoka Wizara na timu za uwezeshaji za wilaya wa mradi wa kurejesha ardhi iliyoharibika na kuongeza usalama wa chakula katika maeneo kame nchini (ldfs) yameendelea leo katika Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo mkoani Morogoro ikiwa ni siku ya pili.

Pichani washiriki wa mafunzo hayo wakijadili masuala ya mabadiliko ya tabia nchi katika makundi. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...