Makamu Mwekahazina wa CPA-Kanda ya Afrika ambaye pia ni Mbunge wa Bunge la Uganda akiongoza kikao cha Kamati ya Bajeti ya Chama hicho. Wa kwanza kushoto kulia ni Spika wa Bunge la Kenya Mhe. Justin Muturi na wa kwanza kulia ni Katibu wa Bunge la Tanzania Bw. Stephen Kagaigai. Wengine katika picha ni Wajumbe na Sekretarieti ya Kamati hiyo. 
Makamu Mwekahazina wa CPA-Kanda ya Afrika ambaye pia ni Mbunge wa Bunge la Uganda akiongoza kikao cha Kamati ya Bajeti ya Chama hicho. Wa kwanza kushoto kulia ni Spika wa Bunge la Kenya Mhe. Justin Muturi na wa kwanza kulia ni Katibu wa Bunge la Tanzania Bw. Stephen Kagaigai. Wengine katika picha ni Wajumbe na Sekretarieti ya Kamati hiyo. 
Makamu Mwekahazina wa CPA-Kanda ya Afrika ambaye pia ni Mbunge wa Bunge la Uganda akiongoza kikao cha Kamati ya Bajeti ya Chama hicho. Wa kwanza kushoto kulia ni Spika wa Bunge la Kenya Mhe. Justin Muturi na wa kwanza kulia ni Katibu wa Bunge la Tanzania Bw. Stephen Kagaigai. Wengine katika picha ni Wajumbe na Sekretarieti ya Kamati hiyo.
Spika wa Bunge la Kenya Mhe. Justin Muturi (kushoto) akisalimiana na Katibu wa Bunge la Tanzania Bw. Stephen Kagaigai kabla ya kikao cha Kamati ya Bajeti ya Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika kilichofanyika Ofisi Ndogo za Bunge la Tanzania Jijini Dar es Salaam.
Spika wa Bunge la Kenya Mhe. Justin Muturi (kushoto) akimueleza jambo Katibu wa Bunge la Tanzania Bw. Stephen Kagaigai kabla ya kikao cha Kamati ya Bajeti ya Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika kilichofanyika Ofisi Ndogo za Bunge la Tanzania Jijini Dar es Salaam.

Spika wa Bunge la Kenya Mhe. Justin Muturi (wa kwanza kulia) akizungumza na Katibu wa Bunge la Tanzania Bw. Stephen Kagaigai (wa kwanza kushoto) kabla ya kikao cha Kamati ya Bajeti ya Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika kilichofanyika Ofisi Ndogo za Bunge la Tanzania Jijini Dar es Salaam. Wengine katika picha ni Wasaidaizi wa Viongozi hao. 

PICHA NA BUNGE

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...