Makamu wa Rais wa Jamhutri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na kuzungumza na Rais Emmason Nangagwa wa Zimbabe walipokutana kwenye Hafla ya Chakula cha Jioni kilichoandaliwa na Rais Mahamadou Issoufour wa Niger, kwenye mkutano wa 12 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika (AU)uliojadili kuhusu Eneo Huru la Biashara Afrika AfCFTA uliofanyika mjini Niamey Nchini Niger. 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Rais Gabriel Antonio Tshekedi wa Congo walipokutana kwenye Hafla ya Chakula cha Jioni kilichoandaliwa na Rais Mahamadou Issoufour wa Niger, kwenye mkutano wa 12 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika (AU)uliojadili kuhusu Eneo Huru la Biashara Afrika AfCFTA uliofanyika mjini Niamey Nchini Niger. 
Makamu wa Rais wa Jamhutri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na Ujumbe wa Tanzania aliouongoza kushiriki mkutano wa 12 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika (AU)uliojadili kuhusu Eneo Huru la Biashara Afrika AfCFTA uliofanyika mjini Niamey Nchini Niger, kwenye mkutano huo Makamu wa Rais amemuwakilisha Rais Dkt. John Pombe Magufuli. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...