Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan (kushoto) akipeana Mkono na Mkuu wa Idara ya Huduma za benki kidijitali na mageuzi ya kiteknolojia wa benki ya NBC Bw. Deogratius Lazari Mosha  kwenye banda la benki hiyo katika maonesho ya Biashara ya Kimataifa maarufu kama Sabasaba 2019 viwanja vya Mwalimu Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...