Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiongoza maandamano kwa Wahitimu wa Mahafali ya Saba ya Chuo cha Taifa cha Ulinzi Kunduchi Jijini Dar es salaam leo Julai 27, 2019.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na Mkuu wa Chuo cha Taifa cha Ulinzi Kunduchi Jijini Dar es salaam Luteni Jeneral Paul Peter Massao wakati wa Mahafali ya Saba ya Chuo Hicho leo Julai 27, 2019.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akifunga Mafunzo kwa Wahitimu wa Mahafali ya Saba wa Chuo cha Taifa cha Ulinzi Kunduchi Jijini Dar es salaam leo Julai 27, 2019.
Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akikmabidhi Cheti Zhao Zishun kutoka China ambae ni Mmoja kati ya Wahitimu wa Mafali ya Saba ya Chuio cha Taifa cha Ulinzi Kunduchi Jijini Dar Es salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na na Viongozi na Wahitimu wa Mahafali ya Saba ya Chuo cha Taifa cha Ulinzi Kunduchi Jijini Dar es salaam leo Julai 27, 2019.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimpongeza Brigedia Gegeral Mbaraka Naziad Mkeremy wa JWTZ Mmoja kati ya Wahitimu wa Mahafali ya Saba ya Chuo cha Taifa cha Ulinzi Kunduchi Jijini Dar es salaam leo Julai 27, 2019.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na CDF Mstaafu George Waitara walipokutana kwenye Mahafali ya Saba ya Chuo cha Taifa cha Ulinzi Kunduchi Jijini Dar es salaam leo Julai 27, 2019.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na kumpongeza Mindi H. P. Kasiga Mmoja kati ya Wahitimu wa Mahafali ya Saba ya Chuo cha Taifa cha Ulinzi Kunduchi Jijini Dar es salaam leo Julai 27, 2019.(Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...