MDAU wa Blog za Kijamii Peter Mabula kutoka ofisi ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoani Tanga (NHIF) kushoto akiwa na Mkewe Jenipher Peter wakiingia kwenye Ukumbi wa Regail Naivera mara baada ya kufunga harusi kwenye Kanisa Katoliki la St.Anthony Chumbageni Jijini Tanga
MDAU wa Blog za Kijamii Peter Mabula kutoka ofisi ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoani Tanga (NHIF) wa pili kutoka kushoto akiwa na Mkewa Janipher Peter wakiwa na wasimamizi waao
MDAU wa Blog za Kijamii Peter Mabula kutoka ofisi ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoani Tanga (NHIF) wa pili kutoka kushoto akiwa na Mkewa Janipher Peter wakiwa na wazazi na ndugu
AMDAU wa Blog za Kijamii Peter Mabula kutoka ofisi ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoani Tanga (NHIF) wa pili kutoka kushoto akiwa na Mkewa Janipher Peter wakiwa na wanafamilia

Sehemu ya wageni waliokuwepo kwenye Sherehe hiyo ya harusi hiyo kulia ni Mhandisi Geofrey Hilly ambaye ni Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Jijini Tanga (Tanga Uwasa)
MENEJA wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoani Tanga (NHIF) Ally Mwakababu katika aliyevaa suti akiwa na watumishi wa Mfuko huo wakati wa sherehe ya Harusi ya mtumishi mwenzao Peter Mabula
 ALAWI Kupaza wa NHIF Tanga akitoka kumpongeza Bwana Harusi
 WAFANYAKAZI wanzake na Peter Mabula wakimpongeza
 MENEJA wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoani Tanga (NHIF) Ally Mwakababu akitoa nasaha kwa Bwana Harusi Peter Mabula kushoto ni Mhasibu wa NHIF Mkoa wa Tanga Hellena Manyanda
 MSIMAMIZI wa NHIF Ofisi ya Tanga Dinna Mlwilo akizungumza wakati wa sherehe hiyo kulia ni Maneja wa NHIF Mkoa wa Tanga Ally Mwakababu 
 MHASIBU wa NHIF Hellena Manyanga akiwa na watumishi wenzake

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...