Afisa wa Bunge Bw. Patson Sobha akimuelezea jambo Waziri wa Viwanda na Biashara Bw. Innocent Bashungwa alipotembelea Banda la Ofisi ya Bunge katika Maonyesho ya  43 Kimataifa ya Kibiashara ya Dar es Salaam yanayoendelea katika Viwanja vya Sabasaba Jijini Dar es Salaam.
 Afisa wa Bunge Bw. Dickson Bisile akizungumza na Wananchi waliotembelea Banda la Ofisi ya Bunge katika Maonyesho ya  43 Kimataifa ya Kibiashara ya Dar es Salaam yanayoendelea katika Viwanja vya Sabasaba Jijini Dar es Salaam.
 Afisa wa Bunge Bw. Prosper Minja akitoa elimu kuhusu Bunge kwa Wananchi waliotembelea Banda la Ofisi ya Bunge katika maonyesho ya  43 Kimataifa ya Kibiashara ya Dar es Salaam yanayoendelea katika Viwanja vya Sabasaba Jijini Dar es Salaam.
  Afisa Mwandamizi wa Bunge Bw. Peter Magati akiwaelekeza jambo Watoto waliotembelea Banda la Ofisi ya Bunge katika maonyesho ya  43 Kimataifa ya Kibiashara ya Dar es Salaam yanayoendelea katika Viwanja vya Sabasaba Jijini Dar es Salaam.
 Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Kimataifa Bw. Daniel Eliufoo (wa kwanza  kulia ) na Afisa wa Bunge Bw. Dickson Bisile wakimsikiliza mwananchi aliyetembelea Banda la Ofisi ya Bunge katika maonyesho ya  43 Kimataifa ya Kibiashara ya Dar es Salaam yanayoendelea katika Viwanja vya Sabasaba Jijini Dar es Salaam kwa lengo lakupata ufahamu kuhusu masuala ya Bunge.
 Maofisa wa Ofisi ya  Bunge wakitoa elimu kuhusu Bunge kwa Wananchi waliotembelea Banda la Ofisi ya Bunge katika maonyesho ya  43 Kimataifa ya Kibiashara ya Dar es Salaam yanayoendelea katika Viwanja vya Sabasaba Jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...