Shule ya Sekondari ya Kigonsera iliyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mkoani Ruvuma ambayo ilianzishwa mwaka 1938 ikiwa na Historia kubwa ya kusomesha viongozi wengi wa kitaifa akiwemo Rais wa awamu ya tatu. Mh. Benjamin Mkapa na Waziri Mkuu wa sasa, Mh. Kassim Majaliwa imeanza kufanyiwa ukarabati mkubwa baada ya Rais John Pombe Magufuli kutoa kiasi chaA fedha milioni 931 kwa ajili ya ukarabati mkubwa katika shule hiyo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...