Ofisa mwandamizi wa Bima Washirika la Bima la Taifa NIC, Catherine Nangali,kulia akimkabidhi Elisa Moses Mjema,kushoto mfano wa hundi ya Bima ya maisha iliyoboreshwa. wa pili kushoto ni Ivonne Elisa, Mtoto wake na wapili kulia ni Ofisa Bima wa NIC Vicent Rogath. Makabidhiano hayoyalifanyikaka katika banda la maonyesho ya  43 ya  sabasaba yanayoendelea Jijini Dar es Salaam viwanja vya Mwalimu Nyerere.
 Mkurugenzi wa Masoko na Huduma kwa Wateja wa Shirika la Bima la Taifa (NIC) Elisante Maleko (Kulia) akimkabidhi Makamu wa Pili wa Rais wa Shirikisho la Riadha Tanzania,Hamadi  Ndee mfano wa hundi ya Bima ya maisha iliyoboreshwa.makabidhiano hayoyalifanyikaka katika banda la maonyesho ya  43 ya  sabasaba yanayoendelea Jijini Dar es Salaam viwanja vya Mwalimu Nyerere 
 Baadhi ya wakazi wa jijini Dar es Salaam wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kukabidhiwa Hundi zao za Bima ya maisha iliyoboreshwa katika banda la maonyesho ya  43 ya  sabasaba yanayoendelea Jijini Dar es Salaam viwanja vya Mwalimu Nyerere 
 Mkurugenzi wa Masoko na Huduma kwa Wateja wa Shirika la Bima la Taifa (NIC) Elisante Maleko (Kulia) akimkabidhi Hamadi Rugambwa Ndibalema,mfano wa hundi ya Bima ya maishailiyoboreshwa.makabidhiano hayoyalifanyikaka katika banda la maonyesho ya  43 ya  sabasaba yanayoendelea Jijini Dar es Salaam viwanja vya Mwalimu Nyerere 
Mkurugenzi wa Shirika la Bima la Taifa (NIC) Sam Kamanga akiwa mbele ya banda la NIC wakati wa maonyesho ya  43 ya  Sabasaba yanayoendelea Jijini Dar es Salaam viwanja vya Mwalimu Nyerere.Wa pili kushoto ni Mkurugenzi wa Masoko na Huduma kwa Wateja NIC Elisante Maleko

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...