Rais Mstaafu akielezewana  namna teknolojia ya meza ya kupasha na kupooza vinywaji na chakula (Heating Table) inavyofanya kazi baada ya kutembelea banda la Chuo cha Ufundi VETA katika Maonesho ya biashara yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Nyerere barabara ya Kilwa Jijini Dar es Salaam
Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muunganio wa Tanzania akipokea maelekezo namna ya kumfundisha mtoto kwa vitendo kuhusu Sayari zinavyozunguka jua katika muhimili wake (Teaching Aid Kit for outer space bodies), baada ya kutembelea banda la VETA katika maonesho ya biashara yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Nyerere barabara ya Kilwa Jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...