Mkokoteni ukiwa chini (kulia) kama inavyoonekana pichani eneo laTandika wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam, baada ya kugongana na Lori aina ya  Fuso lenye namba za Usajili T618 AKA wakisubiri Askari wa kikosi cha usalama barabarani kuja kupima,kufuatia ajali hiyo iliyosababisa foleni kubwa,hakuna aliyepoteza Maisha.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...