Mkokoteni ukiwa chini (kulia) kama inavyoonekana pichani eneo laTandika wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam, baada ya kugongana na Lori aina ya Fuso lenye namba za Usajili T618 AKA wakisubiri Askari wa kikosi cha usalama barabarani kuja kupima,kufuatia ajali hiyo iliyosababisa foleni kubwa,hakuna aliyepoteza Maisha.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...