Rais  mstaafu Jakaya Kikwete akipata maelezo kutoka kwa mrakibu wa Jeshi la Polisi, Simon wakachu alipotembelea banda la Jeshi hilo wakati kwenye maonyesho ya 43 ya biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam yanayoendelea katika viwanja vya Jk Nyerere barabara ya Kilwa
 Rais mstaafu Jakaya Kikwete akisaini kitabu alipotembelea banda la benki ya TIB kwenye maonyesho ya 43 ya biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...