Kiongozi mkuu wa Dojo la Shibu cho Jundokan Goju Ryu Karate Tanzania Sensei Rumadha Fundi akipokea chetu cha ufauru wa GO DAN (mkanda mweusi daraja la tano) toka kwa Sensei Kancho Miyazato, Mkuu wa karate mtindo wa Jundokan Goju Ryu Duniani.
Sensei Rumadha anakuwa anakuwa Mtanzania wa Kwanza kufika ngazi ya juu yenye uthibitisho toka makao makuu ya Jundokan Goju Ryu Karate do huko Okinawa, Japan.
Sensei Rumadha anakuwa Mtanzania wa Kwanza kufika ngazi ya juu yenye uthibitisho toka makao makuu ya Jundokan Goju Ryu Karate do.
Hivi karibuni Sensei Rumadha alikuwepo nchini ambako baada ya kuendesha mafunzo kwa wanafunzi waandamizi aliwapandisha vyeo wanafunzi kadhaa katika Dojo lake la Shibu cho Jundokan Goju Ryu Karate Tanzania.
Sensei Rumadha anakuwa Mtanzania wa Kwanza kufika ngazi ya juu yenye uthibitisho toka makao makuu ya Jundokan Goju Ryu Karate do.
Hivi karibuni Sensei Rumadha alikuwepo nchini ambako baada ya kuendesha mafunzo kwa wanafunzi waandamizi aliwapandisha vyeo wanafunzi kadhaa katika Dojo lake la Shibu cho Jundokan Goju Ryu Karate Tanzania.
Kiongozi mkuu wa Dojo la Shibu cho Jundokan Goju Ryu Karate Tanzania Sensei Rumadha Fundi akiwa na cheti cha ufauru wa GO DAN (mkanda mweusi daraja la tano) alichopokea toka kwa Sensei Kancho Miyazato Mkuu wa karate mtindo wa Jundokan Goju Ryu Duniani (wa pili kulia) huko Vienna, Austria, wakati wa semina ya wiki moja iliyomalizika mwishoni mwa wiki.
|
Kiongozi mkuu wa Dojo la Shibu cho Jundokan Goju Ryu Karate Tanzania Sensei Rumadha Fundi akiwa mazoezini na ma-Sensei wenzake toka sehemu mbalimbali duniani baada ya kutunukiwa cheti cha ufauru wa GO DAN (mkanda mweusi daraja la tano) toka kwa Sensei Kancho Miyazato wakati wa semina yao huko Vinenna, Austria, mwishoni mwa wiki
Kiongozi mkuu wa Dojo la Shibu cho Jundokan Goju Ryu Karate Tanzania Sensei Rumadha Fundi (kushoto kati) akiwa katika picha ya pamoja na ma-Sensei wenzake toka sehemu mbalimbali duniani baada ya kupokea cheti cha ufauru wa GO DAN (mkanda mweusi daraja la tano) toka kwa Sensei Kancho Miyazato wakati wa semina yao huko Vinenna, Austria, mwishoni mwa wiki
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...