Afisa Mwendeshaji Mkuu (CEO)  wa Kampuni ya Tan communications Media Ltd. inayomiliki kituo cha Radio 5 na yenye makao yake makuu jijini Arusha Bw. Robert Francis Lowassa,  akikabidhiwa rasmi leseni ya uendeshaji wa ABC TV  jiiini Arusha na Meneja wa Mkoa wa TCRA Engineer Bi. Imelda Salum 
Afisa Mwendeshaji Mkuu (CEO)  wa Kampuni ya Tan communications Media Ltd. inayomiliki kituo cha Radio 5 na yenye makao yake makuu jijini Arusha Bw. Robert Francis Lowassa,  akiongea na kushukuru baada ya kukabidhiwa rasmi leseni ya uendeshaji wa ABC TV  jijini Arusha

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...