Afisa Mwendeshaji Mkuu (CEO) wa Kampuni ya Tan communications Media Ltd. inayomiliki kituo cha Radio 5 na yenye makao yake makuu jijini Arusha Bw. Robert Francis Lowassa, akikabidhiwa rasmi leseni ya uendeshaji wa ABC TV jiiini Arusha na Meneja wa Mkoa wa TCRA Engineer Bi. Imelda Salum
Afisa Mwendeshaji Mkuu (CEO) wa Kampuni ya Tan communications Media Ltd. inayomiliki kituo cha Radio 5 na yenye makao yake makuu jijini Arusha Bw. Robert Francis Lowassa, akiongea na kushukuru baada ya kukabidhiwa rasmi leseni ya uendeshaji wa ABC TV jijini Arusha
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...