Dk. Heavenlight Kavishe, Mmiliki wa Redio Kicheko Live akizungumza jambo na kuwakaribisha wageni waalikwa malimbali waliofika kwenye hafla hiyo inayoendelea hivi sasa mjini humo,ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro,Mhe.Anna Mghwira
 HOMECOMING : Wakongwe wa utangazaji wamekutana kwenye uzinduzi wa Redio Kicheko, katika Manispaa ya Moshi. Kutoka kushoto ni Jacob Tesha, mtangazaji wa zamani wa RTD, Joseph Mapunda aliyekuwa Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya TSN, inayochapisha Magazeti ya Serikali ya Daily News/Sunday News, Salim Mbonde, mtangazaji wa zamani wa RTD, Thadayo Ringo, mtangazaji wa zamani wa Radio Habari Njema ya Moshi ambaye ni afisa mwandamizi wa TCRA, na Abdul Ngarawa, mtangazaji wa zamani wa RTD. Radio hii mpya inamilikiwa na mfanyabiashara wa mjini Moshi, Dk. Heavenlight Kavishe (PhD) - Industrial Engineering. Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Mh. Anna Mghwira, anatarajiwa kuwa Mgeni rasmi katika uzinduzi huo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...