Waziri wa Mambo ya Ndani ya
Nchi, Kangi Lugola akizungumza wakati wa kikao na Uongozi wa Mamlaka
ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), lengo la kikao hicho ni ukaguzi na
utambuzi wa mali za mamlaka hiyo. Kikao hicho kimefanyika leo jijini
Dodoma.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo
ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Jacob Kingu, akizungumza wakati wa
kikao na Uongozi wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA),
lengo la kikao hicho ni ukaguzi na utambuzi wa mali za mamlaka
hiyo.Kushoto ni waziri wa wizara hiyo, Kangi Lugola. Kikao hicho
kimefanyika leo jijini Dodoma.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya
Mambo ya Ndani ya Nchi, Ramadhani Kailima, akizungumza wakati wa kikao
na Uongozi wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), lengo la
kikao hicho ni ukaguzi na utambuzi wa mali za mamlaka hiyo. Kikao hicho
kimefanyika leo jijini Dodoma.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi

Waziri wa Mambo ya Ndani ya
Nchi, Kangi Lugola (katikati), Katibu Mkuu wa wizara, Meja Jenerali
Jacob Kingu (kushoto) na Naibu Katibu Mkuu ,Ramadhani Kailima (kulia)
wakikagua orodha ya mali za Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa
(NIDA), wakati wa kikao na uongozi wa mamlaka hiyo lengo ikiwa ni
ukaguzi na utambuzi wa mali za mamlaka hiyo.Waliosimama ni Mkurugenzi
Mkuu wa NIDA, Dk. Anold Kihaule na Mkurugenzi wa Utawala na Fedha NIDA,
Merckion Ndofi(kushoto). Kikao hicho kimefanyika leo jijini Dodoma.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi

Mkurugenzi wa Sheria wa Wizara
ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Merlin Komba, akizungumza wakati wa
kikao na Uongozi wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA),lengo
la kikao hicho ni ukaguzi na utambuzi wa mali za mamlaka hiyo.
Kikao hicho kimefanyika leo jijini Dodoma.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya
Vitambulisho vya Taifa(NIDA), Dk. Arnold Kihaule akiwasilisha
muhtasari wa mali za mamlaka hiyo mbele ya uongozi wa juu wa Wizara
ya Mambo ya Ndani ya Nchi, lengo la kikao hicho ni ukaguzi na
utambuzi wa mali za mamlaka hiyo.Kikao hicho kimefanyika leo jijini
Dodoma.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...