Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akisalimiana na Rais wa Rwanda Paul Kagame mjini Kigali aliko mwakilisha
Rais Dkt . John Pombe Magufuli katika sherehe za miaka 25 ya Ukombozi
wa Nchi hiyo .Julai 4/2019 anayeshudia ni Rais wa Sierra leon Mh Mada
Bio

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiwa amejumuika na Viongozi wenzake katika Maadhimisho ya miaka 25 ya Ukombozi wa Rwanda

Askari wa JWTZ wakiwa katika sherehe ya miaka 25 ya Ukombozi wa Rwanda



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...