Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya Halima Maulid Salum akitoa hotuba ya Shukrani kwa Madakari wa Kichina katika Hafla maalum ya kuwaaga baada ya kumaliza muda wao ikiwa ni kawaida kila baada ya mwaka mmoja na kuwapisha wenzao wengine kutoa huduma mbalimbali ikiwa pamoja na Upasuaji na Kichocho,hafla iliofanyika katika Ukumbi wa Sheikh Idriss Abdul wakil kikwajuni Zanzibar.
 Waziri wa Afya Hamad Rashid Mohamed akitoa hotuba katika Hafla maalum ya kuwaaga Madaktari wa Kichina baada ya kumaliza muda wao ikiwa ni kawaida kila baada ya mwaka mmoja na kuwapisha wenzao wengine kutoa huduma mbalimbali ikiwa pamoja na Upasuaji na Kichocho,hafla iliofanyika katika Ukumbi wa Sheikh Idriss Abdul wakil kikwajuni Zanzibar.
 Kiongozi wa Timu ya Madaktari wa Kichina waliomaliza muda wao wa kutumikia Dk,Zhang Zhen akitoa hotuba ya shukrani katika Hafla maalum ya kuwaaga baada ya kumaliza muda wao ikiwa ni kawaida kila baada ya mwaka mmoja na kuwapisha wenzao wengine kutoa huduma mbalimbali ikiwa pamoja na Upasuaji na Kichocho,hafla iliofanyika katika Ukumbi wa Sheikh Idriss Abdul wakil kikwajuni Zanzibar.
 Kiongozi wa Timu ya Madaktari wa Kichina waliofika Nchini DK,Yang Xiaodong akitoa hotuba yake katika hafla maalum ya kuwaaga wenzao waliomaliza muda wao ikiwa ni kawaida kila baada ya mwaka mmoja na kuwapisha wenzao wengine kutoa huduma mbalimbali ikiwa pamoja na Upasuaji na Kichocho,hafla iliofanyika katika Ukumbi wa Sheikh Idriss Abdul wakil kikwajuni Zanzibar.
 Waziri wa Afya Hamad Rashid (kulia)akimpa zawadi kiongozi wa Timu ya Madaktari waliomaliza muda wao Dk,Zhang Zhen katika Hafla maalum ya kuwaaga Madaktari wa Kichina baada ya kumaliza muda wao ikiwa ni kawaida kila baada ya mwaka mmoja na kuwapisha wenzao wengine kutoa huduma mbalimbali ikiwa pamoja na Upasuaji na Kichocho,hafla iliofanyika katika Ukumbi wa Sheikh Idriss Abdul wakil kikwajuni Zanzibar.
 Baadhi ya Madaktari wa Kichina waliohudhuria katika Hafla maalum ya kuwaaga baada ya kumaliza muda wao wa kutumikia ikiwa ni kawaida kila baada ya mwaka mmoja na kuwapisha wenzao wengine kutoa huduma mbalimbali ikiwa pamoja na Upasuaji na Kichocho,hafla iliofanyika katika Ukumbi wa Sheikh Idriss Abdul wakil kikwajuni Zanzibar.
Waziri wa Afya Hamad Rashid (katikati)akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa Wizara ya Afya na Madaktari wa Kichina katika Hafla maalum ya kuwaaga Madaktari hao baada ya kumaliza muda wao ikiwa ni kawaida kila baada ya mwaka mmoja na kuwapisha wenzao wengine kutoa huduma mbalimbali ikiwa pamoja na Upasuaji na Kichocho,hafla iliofanyika katika Ukumbi wa Sheikh Idriss Abdul wakil kikwajuni Zanzibar. PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...