Naibu Waziri Viwanda na Biashara, Mhandisi Stella Manyanya akizungumza na wafanyakazi wa Kampuni ya Simu ya Tigo alipotembelea banda la maonyesho wakati wa mkutano wa 39 wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) unaoendelea jijini Dar es Salaam, Tanzania, ambapo Tigo ndio wadhamini rasmi wa Wi-Fi inayotumika katika mkutano huo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...