Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa Agosti 9, 2019 aliwakabidhi funguo za nyumba Askari Polisi 10 baada ya kufungua nyumba za makazi yao mjini Shinyanga. Pichani, Mheshimiwa Majaliwa akimkabidhi, Koplo Tegemea Masatu ufungua wa nyumba aliyopangiwa kuishi. Katikati ni Kamanda wa Polisi wa mkoa wa Shinyanga, ACP Richard Abwao. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa Agosti 9, 2019 aliwakabidhi funguo za nyumba Askari Polisi 10 baada ya kufungua nyumba za makazi yao mjini Shinyanga. Pichani, Mheshimiwa Majaliwa akimkabidhi, Koplo Tegemea Masatu ufungua wa nyumba aliyopangiwa kuishi. Katikati ni Kamanda wa Polisi wa mkoa wa Shinyanga, ACP Richard Abwao. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza baada ya kuzindua nyumba 10 za makazi ya Askari Polisi mjini Shinyanga, Agosti 9, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua moja kati ya nyumba 10 za Askari Polisi alizozifungua na kukabidhi funguo kwa Askari waliopangiwa kuishi katika nyumba hizo mjini Shinyanga, Agosti 9, 2019. Wa pili kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Zainab Tellak na wa tatu kulia ni Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Shinyanga, ACP Richard Abwao. 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua moja kati ya nyumba 10 za Askari Polisi alizozifungua na kukabidhi funguo kwa Askari waliopangiwa kuishi katika nyumba hizo mjini Shinyanga, Agosti 9, 2019. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Zainab Tellak na wa pili kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Shinyanga, Jasinta Mbaneko. 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipanda mti baada ya kufungua nyumba za makazi ya Askari Polisi mjini Shinyanga, Agosti 9, 2019. Kulia ni Waziri wa Kilimo, Japhet Hasunga na kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Shinyanga, Zaib Tellak. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...