Msajili na Mkurugenzi wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali Bi. Vickness Mayao (kulia) akifafanua jambo kwa mdau wa NGO aliyefika kuhuisha usajili wa Shirika lake kwa Kanda ya Kaskazini katika zoezi la usajili linaofanyika katika Ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro ulioanza tarehe 29/07 hadi tarehe 06/08/2019.
Mwanasheria kutoka Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bw. Faki Shaweji(kulia) akitoa ufafanuzi wa kisheria kwa wadau wa NGO aliyefika kuhuisha usajili wa Shirika lake kwa Kanda ya Kaskazini katika zoezi la usajili linaofanyika katika Ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro ulioanza tarehe 29/07 hadi tarehe 06/08/2019.
Mwanasheria kutoka Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bi. Idda Kombe (kushoto) akitoa ufafanuzi wa kisheria kwa wadau wa NGO aliyefika kuhuisha usajili wa Shirika lake kwa Kanda ya Kaskazini katika zoezi la usajili linaofanyika katika Ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro mpaka ulioanza tarehe 29/07 hadi tarehe 06/08/2019.
Afisa Maendeleo ya Jamii Mkuu kutoka Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bw. Timoth Mgonja (kulia) akitoa huduma ya usajili kwa wadau wa NGO aliyefika kuhuisha usajili wa Shirika lake kwa Kanda ya Kaskazini unaofanyika katika ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro ulioanza tarehe 29/07 hadi tarehe 06/08/2019.
Maafisa kutoka Ofisi ya Msajili wa NGO wakitoa huduma katika zoezi la kuhuisha usajili wa Shirika lake kwa Kanda ya Kaskazini katika zoezi la usajili linaofanyika katika Ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro ulioanza tarehe 29/07 hadi tarehe 06/08/2019.Picha zote na Kitengo cha Mawasiliano WAMJW

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...