Afisa Matekelezo wa Mfuko wa Bima ya Afya(NHIF) mkoa wa Arusha,Miraj Kisile(kulia) akizungumza na mmoja wa wananchi waliofika katika banda hilo kwenye maonesho ya Nanenane Njiro jijini Arusha.
Mmoja wa wananchi waliotembelea banda la NHIF kwenye uwanja wa maonesho ya Nanenane jijini Arusha akipewa ushauri baada ya kupima afya bure.
Afisa Matekelezo wa Mfuko wa Bima ya Afya(NHIF) mkoa wa Arusha,Miraj Kisile(kulia) akizungumza na wananchi waliotembelea maonesho ya Nanenane na kufika katika banda hilo kwaajili ya kufahamu shughuli za mfuko huo na kupima afya bure.
Mmoja wa wananchi waliofika kwenye banda la NHIF kwenye viwanja vya maonesho ya Nanenane mkoa wa Arusha akifurahia maelezo yanayohusu sekta ya afya.





Wananchi wakiwa katika banda la Mfuko wa Bima ya Afya(NHIF) kupata huduma za ushauri na kupima afya bure kwenye maonesho ya Kilimo,Mifugo na Uvuvi maarufu Nanenane viwanja vya Taso Njiro jijini Arusha.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...