RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Balozi wa Jamuhuri ya Rwanda Nchini Tanania Eugine Kayihura, alipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo na Rais na kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa kazi Nchini Tanzania, yaliofanyika leo 27-8-2019.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akimsikiliza Balozi wa Jamhuri ya Rwanda Nchini Tanzania Eugine Kayihura, alipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo na kuaga baada ya kumaliza muda wake wa kazi Nchini Tanzania, mazungumzo hayo yamefanyika Ikulu Zanzibar leo 27-8-2019.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Balozi wa Jamhuri ya Rwanda Nchini Tanzania Eugine Kayihura, alipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo na kumuaga baada ya kumaliza muda wake ya kazi Nchini Tanzania, hafla hiyo imefanyika leo 27-8-2019 Ikulu Zanzibar.
/RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akiagana na mgeni wake Balozi wa Jamuhuri ya Rwanda Nchini Tanzania Eugine Kayihura , baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliofanyika Ikulu Zanzibar leo 27-8-2019, alipofika kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa Kazi Nchini Tanzania.(Picha na Ikulu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...