Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila akisaini kitabu cha wageni, wakati alipomtembelea Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela, ofisini kwake leo Agosti 19, 2019, jijini Dar es salaam.
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila akiwa pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela, wakati alipomtembelea ofisini kwake leo Agosti 19, 2019, jijini Dar es salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...