Meneja Mauzo wa Tigo Mkoa wa Kilimanjaro,Tryphone Kamugisha,akikata utepe kwa pamoja na Kaimu Afisa Mtendaji wa mji Mdogo wa Mwanga, Hassan Msuya, wakikata utepe kwenye mnara wa Mawasiliano ya simu kuashiria kuanza rasmi kutumika kwa huduma ya mtandao wenye kasi ya 4G kwa wilaya ya Mwanga .
Baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya Mawasiliano ya Simu za Mkononi ya Tigo wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa mji mdogo wa Mwanga mara baada ya kufanyika uzinduzi wa mtandao wa kasi wa 4G katika mji wa Mwanga.
Wakazi wa Mwanga . na wafanyakazi wa Tigo wakifuatilia uzinduzi wa uzinduzi wa mtandao wa kasi wa 4G katika mji wa Mwanga. 
Wateja wakipata huduma mara baada ya kufanyika uzinduzi wa mtandao wa kasi wa 4G katika mji wa Mwanga.
Wateja wakipata huduma mara baada ya kufanyika uzinduzi wa mtandao wa kasi wa 4G katika mji wa Mwanga.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...