Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama akiangalia bustani ya Mboga alipotembelea banda la Halmashauri ya Morogoro wakati wa maonesho hayo yaliyofanyika katika viwanja vya Mwl. Julius Nyerere.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulika Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama akitoa hotupa wakati wa ufunguzi wa maonesho ya nanenane katika viwanja vya Mwl. Julius Kambarage Nyerere Agosti 1, 2019 Mkoani Morogoro.
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Dkt. Steven Kebwe akizungumza na washiriki pamoja na wakazi wa Morogoro waliohudhuria hafla hiyo ya ufunguzi wa Maonesho ya Nanenane katika Mkoa huo.
Baadhi ya Viongozi wakimsikiliza Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama (hayupo pichani) wakati wa hafla hiyo.
Sehemu ya washiriki wa Maonesho hayo na wananchi wakisikiliza hotuba ya Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama (hayupo pichani) wakati wa hafla hiyo ya uzinduzi wa maonesho ya Nanenane 2019.
Meneja Biashara wa Benki ya CRDB, Morogoro Bi. Theofora Madilu akielezea huduma zinazotolewa na benki hiyo kwa Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama alipotembelea banda la benki hiyo. Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Dkt. Steven Kebwe.
Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama akitazama aina ya mtama alipotembelea banda la Wizara ya Kilimo katika maonesho hayo ya Nanenane.
Kaimu Afisa Kilimo kutoka kwenye Banda la Halmashauri ya Morogoro, Bi. Happifania Matafu akimfafanulia Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama aina ya tangawizi zinazozalishwa katika Mkoa huo, alipotembelea banda hilo.
Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama akiangalia akiangalia shamba dogo la mbaazi alipotembela banda la Taasisi ya Utafiti wa Kilimo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...