MSANII wa Bongo Flava Ali Kiba (King Kiba) akitowa burudani wakati wa hafla ya kusherehekea miaka 6 ya Mgahawa wa Six Degrees South, mitaa ya Mji Mkongwe wa Zanzibar.(Picha na Othman Maulid).

MSANII wa Kizazi Kipya Bongo Flava King Kiba Ali Kiba akilishambulia jukwaa la mgahawa wa Six Degrees South Shangani Jijini Zanzibar, wakati wa hafla hiyoiliofanyika jana usiku.(Picha na Othman Maulid)

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...