Muonekano wa jengo jipya la Mfuko wa Mwalimu Julius Nyerere linalojulikana kama ‘Mwalimu Nyerere Foundation Square’ lililopo Barabara ya Sokoine/Morogoro jijini Dar es Salaam baada ya kukamilika kwa ujenzi. Jengo hilo lenye ghorofa 30 limejengwa na kampuni ya Kichina ya CRJE (East Africa) linatarajiwa kuzinduliwa hivi karibuni.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...