Muonekano wa jengo jipya la Mfuko wa Mwalimu Julius Nyerere linalojulikana kama ‘Mwalimu Nyerere Foundation Square’ lililopo Barabara ya Sokoine/Morogoro jijini Dar es Salaam baada ya kukamilika kwa ujenzi. Jengo hilo lenye ghorofa 30 limejengwa na kampuni ya Kichina ya CRJE (East Africa) linatarajiwa kuzinduliwa hivi karibuni.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...