Kamishna wa Operesheni na Mafunzo Liberatus Sabas, aliekaa katika Boti ya Polisi Wanamaji akiwa amelejea baada ya kumaliza kukagua vipenyo hatarishi na vinavyotumiwa na wahalifu wa majini. ( PICHA NA JESHI LA POLISI).

Kamishna wa Operesheni na Mafunzo Liberatus Sabas, akiwasili katika ofisi za Kikosi cha Askari Wanamaji cha Jeshi la Polisi katika ofisi zao zilizopo jijini Dar es Salaam na kushoto kwake ni SP Benedict Nyagabona.

Kamishna wa Operesheni na Mafunzo Liberatus Sabas, akipata maelekezo utendaji kazi wa Askari Polisi wanamaji kutoka kwa Kamanda wa Kikosi cha Askari wanamaji Tanzania ACP Evince Mwaijage baada ya kuwasili ofisini hapo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...